Ada ya Uwanja Wa Ndege/ Kivuko Tanzania

Tafadhali kumbuka kuwa hizi ada zinaongezwa moja kwa moja kwenye malipo ya safari, na ni kwenye miji iliyo orodheshwa hapo chini.

Ada ya kivuko Dar es Salaam

  • Uwanja wa ndege: TZS 2000
  • Daraja la Kigamboni: TZS 3000
  • Kivuko cha Kigamboni: TZS 1500
  • Stendi ya basi ya Ubungo: TZS 1500

Ada ya kivuko Dodoma

  • Uwanja wa ndege: TZS 1000

Ada ya kivuko Mwanza

  • Njia ya uwanja wa ndege: TZS 3000 (ada ya ziada TZS 1000 itaongezwa kama dereva akipita kivuko na kumaliza safari ndani ya uwanja wa ndege)
  • Stendi ya basi ya Buzuruga : TZS 500
  • Stendi ya basi ya Nyegezi: TZS 500

Request in seconds, ride in minutes.

Available for iOS and Android devices.
Request in seconds, ride in minutes.