Kamisheni ya Bolt Tanzania

Malipo ya Bolt ni 20% kamisheni kutokana na bei kamili katika kila safari. Kamisheni inatumika kwa wateja wote wa fedha taslimu na kadi.

Muundo kamili wa makato ni:

  • Kamisheni ya Bolt: 20%
  • Kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye kamisheni: 3.6% (18% ya kamisheni, inayolipwa serikalini)
  • Ada ya kuhifadhi: 2% (inayolipwa na abiria, lakini ikikusanywa kutoka kwa dereva)

Hii inasababisha makato ya jumla ya takriban 25.6%.

Kamisheni haihusishi pesa ya ziada ya ihari kutoka kwa mteja, bonasi na malipo ya ziada kama ada za airport, vilevile ada ya kuhifadhi.

Kamisheni inahesabika moja kwa moja na kutolewa katika mapato yako ya wiki. Unaweza kuona jumla ya ada kutokana na kamisheni iliyo hesabiwa katika Sehemu ya mapato.

Omba ndani ya sekunde, safiri ndani ya dakika.

Inapatikana kwa vifaa vya iOS na Android.
Omba ndani ya sekunde, safiri ndani ya dakika.